Monday, January 7, 2013

UHABA WA MAJI SAFI WAHATARISHA AFYA ZA WATANZANIA

Uhaba wa maji safi na salama umekuwa ni chanzo cha magonjwa ya kuhara, kichocho na homa ya matumbo kwa watanzania. Ingawa Tanzania imejaaliwa rasilimali nyingi lakini wakazi wake wengi hasa wa vijijini wamekosa huduma ya maji safi na salama kwa kipindi kirefu sasa. Baadhi ya watanzania wamekuwa wakichangia maji na wanyama yanayopatika katika vidimbwi vinavyopatikana maene mbalimbali hapa nchini
Posted by Picasa

No comments:

Post a Comment