Wednesday, January 23, 2013

PINDA AZINDUA TAASISI YA WAARABU TANZANIA


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikata utepe wakati alipozindua  Taasisi ya Waarabu Tanzania kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Novemba 18,2012. Kushoto Ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mecky Sadic.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Sheikh Noordin Kishk  baada ya kuzindua Taasisi ya Waarabu Tanzania kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es alaam Novemba 18,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akizungumza a Shekh  Noordin Kishk (katikati) na Mwenyekiti wa  Taasisi ya Waarabu tanzania , Said Said Mohamed  (kulia) baada ya kuzindua Taasisi hiyo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Novemba 18,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment