Tuesday, January 22, 2013

WAZIRI KOMBANI AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI JIJINI MWANZA.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mhe. Celina Ompeshi Kombani akizungumza mapema leo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi Tanzania katika ukumbi wa Benki Kuu Mwanza.

No comments:

Post a Comment