Wednesday, March 27, 2013

VYUO MBALI MBALI VYA TANZANIA, SIFA ZA UOMBAJI, NAMNA YA KUOMBA, TOVUTI ZA VYUO HIVYO.

 KWA WAOMBAJI WA KOZI MBALIMBALI TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ZIFUATAZO KWA MSAADA ZAIDI:

Chuo cha ufundi Arusha (ATC).www.atc.ac.tz.
Sifa za mwanafunzi ni kupata angalau (D)katika masomo ya sayansi ambayo ni mathematic,physics,chemistry kwa mwanafunzi wa kike but kwa mwanafunzi wa kiume awe amepata (c) katika masomo mawili kati ya hapo juu baada ya hapo ataitwa katika access course ambayo inachua muda wa miezi miwili na wiki mbili mwanafunzi anatakiwa kupata alama hamsini katika kila somo ambayo ni mathematic,physics ,computer and mechanic gharama za acc
Ess course ni shilingi laki mbili kula na kulala Chuo kwa female only

DAR ES SALAAM INSTUTE OF TECHNOLOGY (DIT) www.dit.ac.tz
Sifa ni nikupata angalau (D) katika masomo yote ya sayansi kwa kila man and woman
Kuna access course kwa muda wa miezi miwili na wiki mbili kwa gharama za sgilingi laki na nusu kulala chuo but kula kila mwanafunzi anajitemea but wanafunzi wataofauru watadhaminiwa na serikali kwa gharama za kulipa shilingi laki mbili na kumi
Course tembelea kwenye website yao hapo juu.

MBEYA INSTUTE OF TECHNOLOGY AND SCIENCE(MIST) www.mist.ac.tz
Sifa kila mwanafunzi aliyefauru angalau (D) Katika masomo ya sayansi
Fomu inapatikana kwa shilingi elfu kumi na tano kwenye tovuti yao hapo juu .
Kuna access course kwa wanafunzi watakachaguliwa kujiunga na chuo kwa muda wa miezi miwili na wiki mbili(2) kwa mwanamke analipa shilingi laki moja na kumi kula anajitemea kwa mwanaume shilingi laki mbili na thelathini kula anajitemea akifauru anakuwa Under government sponsorship scheme atalipa shilingi laki mbili na nusu

MBEGANI FISHERIES DEVELOPMENT CENTRE
Kuna course mbalimbali pale chuoni ,fomu zinapatikana pale chuoni Ada kwa sasa shilingi laki saba kwa mwaka kula na kulala chuoni
Sifa za mwanafunzi kujiunga chuoni ni kupata (D)katika masomo ya sayansi
Kwa ngazi ya cheti muda wa course ni miaka miwili
Kwa mwanafunzi wanachukua diploma sifa za kujiunga ni
Kupata angalau `S`mbili Katika masomo ya sayansi muda wa course ni miaka miwili

VYUO VYA MIFUGO NA MAENDELEO YA UVUVI
Sifa ya kujiunga na vyuo vya mifugo ni kufauru masomo ya sayansi kwa kiwango kisicho pungua points 28 katika kiwango kimoja na kufauru masomo ya sayansi kwa kiwango cha (d) muda wa course ni miaka miwili tu.

Ada sasa ni shilingi laki tatu private laki tisa kwa mwaka kwa ngazi ya cheti na diploma kwa sifa za kujiunga nachuo kwa ngazi ya diploma ni `S` kwa masomo ya sayansi tu maombi kutuma kwa KATIBU MKUU WAZARA YA MIFUGO NA M
AENDELEO YA UVUVI S.L.P.9252 DAR
CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII DAR ES SALAAM
CHUO KINATOA COURSE ZIFUATAZO
Human resource management ngazi ya cheti na diploma kwa sifa ya (d-5)kwa ngazi ya cheti na (s-e)kwa ngazi ya diploma
Social work –course kwa ngazi yha cheti na diploma
Fomu zake ni shilingi elfu ishilini tu tembelea www.isd.ac.tz

CHUO CHA USIMAMIZI WA MAHAKAMA LUSHOTO- TANGA(www.ija.ac.tz)

Kuna course moja tu ambayo ni
Certifacate of Law muda ni mwaka mmoja tu
Sifa ya kujiunga ni kupata (D) Katika masomo ya Arts Kufauru sommo la Engilish ni lazima fomu zinapatikana kwa shilingi elfu kumi na tano tu
Kwa ngazi ya Diploma ni kupata credit 5 za kidato cha nne au kupata japo (E-S)katika masomo ya Arts
Ada ni shilingi milioni moja laki tatu kwa mwaka without accommodation

Tembelea website zifuatazo kwa maelezo muhimu

www.kiu.ac.tz. KAMPALA INTENAL UNIVERSITY
www.mu.ac.tz.Mzumbe University
www.saut.ac.tz ST AUGOSTINO UNIVERSITY
www.chuo cha serikali za mitaa.ac.tz sifa d-5 kwa ngazi ya cheti
www.chuo kishiriki cha sua kilichopo arusha.ac.tz
www.chuo cha kumbukumbu cha mwaliumu nyerere.ac.tz

KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
S.L.P 9083 DAR ES SALAAM
Sifa za muhombaji ni kupata japo d ya somo la biology kwa ngazi ya cheti kufauru mathematic ni sifa ya ziada barua iwe na picha tatu na cheti cha kuzaliwa kwa ngazi ya cheti kupata angalau `S` katika masomo ya sayansi
Kuna course kama ifuatayo
Clinical officer
Hearth officer
Laboratory officer
Assistance officer of clinical officer
Dental officer:

1 comment: