Sunday, March 10, 2013

WANAFUNZI WA SHAHADA YA ELIMU NA FILOSOFIA SAUT WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA BABA WA TAIFA




Wananfunzi wa mwaka wa tatu wa shahada ya elimu na filosofia SAUT wakiangalia makaburi ya wazazi wa Baba wa Taifa Mwalim Nyerere katika makumbusho ya Mwalim Nyerere- Butiama





Wananfunzi wa mwaka wa tatu wa shahada ya elimu na filosofia SAUT wakiwa katika jengo ambalo lina kaburi la Baba wa Taifa katika makumbusho ya Mwalim Nyerere- Butiama






Muhadhiri wa chuo cha SAUT Mr. Mugishagwe akitoa amelekezo kwa wanafunzi wake wakiwa katika makumbusho wa  Mwalim Nyerere Butiama





Radio alokuwa akiitumia Baba wa Taifa Mwalim Nyerere. Inauzito wa kilogram 20.

Wananfunzi wa mwaka wa tatu wa shahada ya elimu na filosofia SAUT wakiangalia  vivutio vya kitalii katika makumbusho ya Mwalim Nyerere- Butiama

Wananfunzi wa mwaka wa tatu wa shahada ya elimu na filosofia SAUT wakiangalia  vivutio vya kitalii katika makumbusho ya Mwalim Nyerere- Butiama

No comments:

Post a Comment