Sunday, March 31, 2013

KILIMO KWANZA NA JEMBE LA MKONO


Baadhi ya majukumu ya kilimo kwanza mpaka mwaka 2015 ni
1. Kuwaendeleza wakulima wadogo na wa kati kuwa wakulima wa kisasa na wa kibiashara.
2. Kuhimiza wakulima wa kati na wakubwa wachangie kwa ukamilifu kufanikisha kilimo kwanza.

Je, mpaka kufikia 2015 hayo yatakuwa yamefikiwa?

No comments:

Post a Comment