Saturday, December 8, 2012

BAKWATA YACHANGIA UIMARISHAJI WA RADIO IQRA- MWANZA

Viongozi wa BAKWATA mkoa wa Mwanza wakiwa ktk hfla ya kuchangi utunishaji wa mfuko kuelekea harambee kubwa ya kuchangia upanuaji wa usikivu wa Radio IQRA FM. Radio Iqra ipo katika mkakati kabambe wa kupanua usikivu wake katika mikoa sita hapa nchini. kulia ni Shekh wa Mkoa wa Mwanza Sh. Salum Fereji na katibu wa BAKWATA mkoa wa Mwanza Sh. Mohamed  S. Bala.

No comments:

Post a Comment