Thursday, December 6, 2012

ZANZIBA YAPOTEZAAFA NAFASI YA KUCHEZA FAINALI YA CECAFA



Timu ya Taifa ya zanzibar ZANZIBAR HEROES imepoteza nafasi ya kucheza fainali ya kombe la CECAFA baada ya kfungwa na Kenya kwa njia ya matuta.
Awali tumu hizo zilitoka sare ya mabao mawili kwa mawili na kwenda hatua ya matuta ambapo kenya ilibuka na ushindi kwa penalt 4 kwa 2.
ZAnziba inaubiri nafasi ya kutafuta mshindi wa tatu dhidi ya atakaepoteza kati ya Uganda na Tanzania bara.

No comments:

Post a Comment