Saturday, December 8, 2012

JUQUSUTA YAJIPANGA KUPANUA USIKIVU WA RADIO IQRA- Mwanza

toka kushoto, Shekh wa mkoa wa Mwanza Salum Fereji, Mlezi wa Samuko Artaf hiran,  M/kiti wa Mwinyibaraka Foundation Sh. Issa Othman, M/kiti wa JUQUSUTA taifa Sh. Hassan Kabeke na mwekahazina wa JUQUSUTA Mohammed Kassanga wakiwa katika harambee ndogo ya kupanua usikivu wa IQRA Fm radio. Harambee hiyo ni maadalizi ya harambee kubwa itakayofanyika february 2013.

No comments:

Post a Comment