Thursday, December 6, 2012

AJALI YA NDEGE YAUA 11 AFRIKA KUSINI


 watu 11 wamefariki dunia kufuatia ajali ya helikopta ya kijeshi, mashariki mwa Afrika kusini. habari zinasema kuwa waliofariki dunia ni madaktari wa rais mustaafu, Nelson Mandela. Helikopta hiyo ilikuwa imetokea Pretoria ikielekea Mthatha karibu na mji wa Qunu, nyumbani kwa Mzee Nelson Mandela. 

No comments:

Post a Comment