Sunday, October 21, 2012

HARUSI HARUSI HARUSI


Ndugu jamaa na marafiki mnataarifiwa kuwa Mpendwa wenu, ndugu Butije Hamisi Butije anatarajia kufunga ndoa mnamo tareh 29 December 2012 itakayofanyika wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Mnaombwa kushiriki kikamilifu katika hafla hiyo.
Pia unaombwa mchango wako ili kumuunga mkono ndugu yetu katika kufanikisha tukio hilo muhimu.
unaweza kutuma chango wako kupitia M-PESA kwa namba zifuatazo:
        0752 231172 or 0769454447

Kwa maelezo zaidi pia waweza piga namba tajwa hapo juu.
Ndugu, Butije Hamisi

No comments:

Post a Comment