Wednesday, December 5, 2012

RAIS MURSI AREJEA IKULU




Rais Muhammad Mursi wa Misri leo amerejea kwenye ikulu yake mjini Cairo, licha ya maelefu ya waandamanaji waaopinga katiba mpya kuendelea kukusanyika mbele ya geti la ikulu hiyo. Morsi jana jioni alilazimika kuondoka katika ikulu hiyo iliyoko kaskazini mwa mji mkuu Cairo, baada ya maelfu ya wandamanaji kuizingira ikulu hiyo na kutokea vurugu kati yao na polisi. Ambapo watu 20 walijeruhiwa.

No comments:

Post a Comment