Monday, March 17, 2014

AJIRA MPYA YA WALIMU WA PYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14

A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI I NATANGAZA ORODHA YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA IFUATAVYO:-
i. Wa limuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928

ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416

iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677

Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za vyuo vyaualimu Tanzania Bara
.
B:Kila Mwalimu ( Ajirampya) atatakiwakuzingatiayafuatayo:-
1.Kuripoti tarehe 01/04/2014 kwenye ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri kwaajili ya kupangiwa vituo vya kazi na kuanza kazi.

2.Mwalimu atatakiwa kuwa na vyeti vyake halisi vyachuonaSekondari

3.Walimu ambao ni waajiriwa wa Serikali waliokuwa wanajiendeleza kielimu wanatakiwa kurudi kwa waajiri wao ili kuendelea na kazi.

4.Fedha za kujikimu za siku saba (7) na nauli kwa walimu wapya zimetumwa katika Halmashauri waliko pangwa walimu. Hivyo, kila mmoja aripoti katika Halmashauri aliyopangwa.

5.Mwalimu ambaye hataripoti ifikapo tarehe 10/04/2014 hatapokelewa Atena na atakuwa amepoteza ajira yake.
MAJINA YA WAAJIRIWA WAPYA

No comments:

Post a Comment