Sunday, February 17, 2013

KWA NINI NI RAHISI WATU KUINGIA KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI KWA NJIA YA MTANDAO?

Teknolojia ya Mtadao ... inawezesha kuwa na uhusiano wa kasi na wa moja kwa moja, 

Mawasiliano ya mtandao humpa mtu uwezo na nafasi ya kuuliza maswali ambayo pengine mtu angeshindwa kuyauliza uso kwa uso wakati huo.

Wale ambao hukutana katika chumba cha giza, kwa ujumla, huwa huru zaidi ya wawazi na wenye  ukaribu sana, kwa washiriki wenzao kuliko wale ambao hukutana uso kwa uso kwenye eneo la wazi na angavu. 

Kwa kifupi:, watu kujisikia huru zaidi kuwa wao wenyewe na kupata kujua kila mmoja. Hivyo ni rahisi watu kujikita kwenye mahusiano kupitia mtadao kuliko njia ya ana kwa ana.

 "Upendo Mtandaoni: Hisia kwenye mtandao."  Huwezesha kuendeleza kwa mazungumzo ya mapenzi  ikilinganishwa na mazungumzo ya ana kwa ana au mfumo  wa barua. 

No comments:

Post a Comment