Friday, May 31, 2013

MATOKEO YA KIDATO CHA 6 YATANGAZWA HUKU UFAULU UKIONGEZEKA UKILINGANISHA NA MWAKA JANA

kawambwa
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha sita huku ufaulu ukiongezeka kulinganisha na mwaka jana. Shule ya Marian Girls imeendelea kuongoza kwa kushika namba moja ikifuatiwa na shule ya Mzumbe. 
Kwa matokeo kamli bofya hapa

MATOKEO YA KIDATO CHA 6 2013

No comments:

Post a Comment