Tuesday, May 21, 2013

PROFESA JAY AJIUNGA NA CHADEMA: ACHUKUA KADI YA CHAMA HICHO MJINI DODOMA..


Msanii wa muziki wa kizazi kipya chini Tanzania maarufu kama "bongo flavor" Josef Haule (prf. Jay) amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kwa kukabidhiwa kadi ya chama hicho na Msaii mwenzake wa muziki huo na mbunge wa mbea mjini kupitia chama hicho Mh. Joseph Mbilinyi maarufu kama MR. Sugu.

No comments:

Post a Comment