Wednesday, October 17, 2012

MICHUZI: Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam,Sheikh Issa Ponda ashikiliwa na polisi

MICHUZI: Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam,Sheikh Issa Ponda ashikiliwa na jeshi la polisi jijini Dar
Sh. Ponda anashikiliwa kwa tuhuma mbalimbali zinazmkabili. Kamanda wa polisi kanda maalum, Suleiman Kova amesema Sh. Ponda amekamatwa kwa tuhuma za uchochezi dhidi ya serikali iliyopo madarakani, uchochezi wa udini kati ya waislam na wakristo na ndani ya waislam wenyewe, kuwachochea watu kufanya maandamano, vitisho vya kumuua Muft wa Tz Sh Issa bin Simba, kuingilia uhuru wa mahakama pamoja na uchomaji wa makanisa,
Sh. Ponda alikamatwa juzi usiku majira ya saa nne usiku akiwa kwenye pikipiki akielekea temeke jijini Dar.

No comments:

Post a Comment