Monday, October 15, 2012

HIGHER LEARNING STUDENTS SUPPORTING FUND (HLSSF)

  HABARI NJEMA: 
Taasis mpya ya binafsi inayotoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imeanzishwa. kwa  wale ambao ndugu zao wamekosa mikopo kupitia taasisi ya serikali ya utoaji wa mikopo ya elimu ya juu HESLB wanaweza kuwashauri waombe huko. taasisi hiyo inaitwa HLSSF ( Higher Learning Students Supporting Fund) kwa maelezo zaodi tembelea tovuti hii hapa http://www.hlssf.org/

No comments:

Post a Comment