Wednesday, October 17, 2012

MICHUZI: NEWS ALERT: Hali si Shwari maeneo ya Kituo cha Kati cha Polisi Jijini Dar muda huu

MICHUZI: NEWS ALERT: Hali si Shwari maeneo ya Kituo cha Kati cha Polisi Jijini Dar muda huu
Jeshi la polisi jijini Dar limelazimika kutumia mabom ya machozi kuwatawanya baadhi ya waislam waliokusanyika katika kituo cha kati jijini Dar wakishinikiza kuachiwa kwa katibu wa jumuia na taasisi za kiislam Tanzania Sh. Issa Ponda
Watu 38 wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo uchochezi dhidi ya srikali na uchochezi kati ya waislam na wakiristo ikiwemo vurugu za hivi karibuni za Mbagala

No comments:

Post a Comment