Wednesday, January 22, 2014

NDEGE ISIYO NA RUBANI YATUMIKA KUSIMAMIA MITIHANI UBELGIJI

 
Ndege isiyo na rubani (drone) yatumika kusimamia mitihani

Shule moja ya nchi Ubelgiji imeamua kutumia ndege isiyo na rubani (drone) kusimamia mitihani baada ya kushindwa mbinu za kawaida kuwazuia wanafunzi kufanya udanganyifu katika mitihani yao.
Ndege hiyo ina kamera ya kuchukua picha za video pamoja na kurekodi harakati yoyote inayotia wasiwasi kutoka kwa mwanafunzi yeyote yule na kurusha moja kwa moja kwenye TV harakati yoyote ile isiyo ya kawaida
Source: IRB