Wednesday, November 28, 2012

MASCOM 3 WAKIFATILIA MICHHUANO YA CECAFA

Baadhi ya wanafunzi wa shahada ya mawasiliano ya umma mwaka wa 3 wakifatilia kwa ukaribu mechi kati ya Tanzania na Burundi katika michuano ya CECAFA challenge cup huku wakisubiri kufanya kazi za vitendo za darasan

WALOCHEZA FILAM YA KUMKASHIFU MTUME WAHUKUMIWA KUNYONGWA


 


Mahakama nchini Misri imewapa hukumu ya kunyongwa watu saba walioshukiwa kuitengeza filamu iliyosababisha kero na ghadhabu katika ulimwengu wa kiisilamu mapema mwaka huu.
Hasira dhidi ya filamu hiyo iliyokuwa inamkejeli Mtume Mohammed, ilisababisha maandamano dhidi ya Marekani kiasi cha kuteketezwa ubalozi wake nchini Libya.
Washukiwa hao saba walihukumiwa wakiwa hawapo mahakamani.
Hukumu hizo ziliidhinishwa na Mufti mkuu nchini Misri ambaye pia ni msomi wa dini ya kiisilamu.

Filamu hiyo ilitengezwa mjini Carlifonia, Marekani na kutolewa kwenye internet mwezi Septemba.
Miongoni mwa wale walioshtakiwa ni mtengezaji wa filamu yenyewe Morris Sadek ambaye ni raia wa Misri.
Mahakama itatoa hukumu ya mwisho mwezi Januari kufuatia itikio la Mufti

Saturday, November 24, 2012

MAHAFALI YA SAUT 2012

Baadhi ya Matukio katika mahafali ya wa wahitimu wa ngazi ya cheti, stashahada, shahada na uzamili katika fani mbalimbali katika  chuo cha SAUT jijini Mwanza.
Pichani juu wakwanza kushoto ni Mgeni Rasmi, wwaziri wa ujenzi Dr. John Magufuli na wakwanza kulia ni Mkuu wa idara ya uwandishi wa habari na mawasiliano Bi Imane Duwe,

JUMUIA YA SHIA ITHNAASHARIA WAADHIMISHA SIKU YA ASHURA KWA KUCHANGIA DAMU.

Waumini wa kiislam wa dhehebu la Shia Ithnaasharia wakichangia damu katika mpango wa uchangiaji wa damu salama wakati wakiadhimisha siku ya "ASHURA" hii leo. siku hii inakumbukwa kuwa ndio siku alouawa Imam Hussein mjukuu wa Mtume Muhammad (s.a.w)
Pichani chini kushoto ni Kaimu mwenyekiti wa mpango wa damu salama kanda ya ziwa Bw. Inocent Byebesa na kulia ni Mwenyekiti wa jumuia ya Shia Ithnaasharia Bw. Syptain Meghji.

WAISLAM WAADHIMISHA SIKU YA "ASHURA" KWA KUCHANGIA DAMU SALAMA

Waumini wa Kiislam wa dhehebu la SHIA Ithnaasharia wakiadhima siku ya "Ashura" kwa kuchangia damu katika mpango wa uchangiaji wa damu salama. Hao ni baadhi ya waumini waliofika katika ofisi za bank ya damu salama kanda ya ziwa iliyoko Bugando jijini Mwanza.
Siku ya Ashura ni siku aliyofariki Imam Hussein mjukuu wa Mtume Muhammad (s.a.w) 

Saturday, November 17, 2012

MSIMAMO WA LIGI KUU YA UINGEREZA

Baada ya mechi zote za leo kumalizika huu ndio msimamo wa ligi kuu wingereza
POS
LP CLUB P W D L GF GA GD PTS
1 (2) Manchester City 12 8 4 0 25 10 15 28
2 (1) Manchester United 12 9 0 3 29 17 12 27
3 (3) Chelsea 12 7 3 2 24 13 11 24
4 (5) West Bromwich Albion 12 7 2 3 19 13 6 23
5 (4) Everton 12 5 5 2 22 16 6 20
6 (8) Arsenal 12 5 4 3 23 13 10 19
7 (6) West Ham United 11 5 3 3 14 11 3 18
8 (7) Tottenham Hotspur 12 5 2 5 20 21 -1 17
9 (9) Fulham 11 4 4 3 24 19 5 16
10 (11) Swansea City 12 4 4 4 18 16 2 16
11 (13) Liverpool 12 3 6 3 17 16 1 15
12 (10) Newcastle United 12 3 5 4 13 17 -4 14
13 (15) Norwich City 12 3 5 4 9 18 -9 14
14 (12) Stoke City 11 2 6 3 9 10 -1 12
15 (14) Wigan Athletic 12 3 2 7 12 21 -9 11
16 (16) Sunderland 10 1 6 3 7 11 -4 9
17 (18) Reading 11 1 6 4 14 19 -5 9
18 (17) Aston Villa 12 2 3 7 10 22 -12 9
19 (19) Southampton 12 2 2 8 18 30 -12 8
20 (20) Queens Park Rangers 12 0 4 8 9 23 -14 4
POS
LP CLUB P W D L GF GA GD PTS

ARSENAL, MAN CITY, & LIVERPOOL ZATAKATA, CHELSEA YAZAMA

 Ligi kuu ya Wingereza imeendelea hii leo kwa WESTBROM kuwaduwaza wanadarajani kwa kuwachapa bao mbili kwa moja. wakati Chelsea wakipoteza mchezo huo, wapinzani wao wakuu ARSENAL, MAN CITY na LIVERPOOL wamechekelea kwa kuibuka na ushindi mnono.
yafutayo ni matokeo kamili ya mechi za leo.
Arsenal5 - 2Tottenham H.


Liverpool3 - 0Wigan Athletic


Manchester C.5 - 0Aston Villa


Newcastle U.1 - 2Swansea C.


Queens Park R.1 - 3Southampton


Reading2 - 1Everton


West Bromwich A.2 - 1Chelsea

ISRAEL YAFANYA MAUAJI HUKO GHAZA


 

 SOURCE: Idhaa ya Kiswahili ya Tehran

Jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika duru mpya ya mashambulizi yake huko Ghaza ambayo yalianza Jumatano iliyopita zimekuwa na maafa ya kutisha sawa na mashambulizi mengine ya utawala huo, kwa kadiri kwamba hadi sasa mamia ya Wapalestina wameuliwa shahidi na kujeruhiwa, wengi wao wakiwa ni watoto wadogo, wanawake na wazee.
Jinai kubwa za utawala wa Kizayuni katika siku kadhaa zilizopita zimewatia wasiwasi mkubwa walimwengu. Ripoti za mashirika mbalimbali ya kimataifa kuhusu takwimu za watu waliouliwa katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika siku kadhaa zilizopita huko Ghaza zinazungumzia maafa makubwa ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika duru hii mpya ya hujuma ya Israel huko Ukanda wa Ghaza.
Taarifa ya Mfuko wa Watoto wa Kimataifa (Unicef) imeeleza kuwa makumi ya watoto wa Kipalestina wameuliwa au kujeruhiwa katika mashambulizi yanayofanywa sasa na utawala wa Kizayuni huko Ghaza. Hii ni katika hali ambayo idadi ya Wapalestina wanaouliwa shahidi katika mashambulizi hayo ya Israel hususan watoto wadogo inaongezeka.
Weledi wengi wa masuala ya kisheria wamesema baada ya kushuhudia na kutathmini hali ya mambo ya Ghaza kuwa hatua ya Israel ya kuendelea kuwauwa kwa umati Wapalestina ni ushahidi wa wazi wa jinai dhidi ya binadamu. Katika mazingira hayo fikra za walio wengi zinataraji kuwa taasisi za kimataifa zitachukua hatua haraka iwezekanavyo kusimamisha jinai hizo za utawala wa Kizayuni na mauaji makubwa yanayofanywa dhidi ya raia wasio na ulinzi wa Palestina. Hii ni katika hali ambayo taasisi za kimataifa zimeendelea kukaa kimya mbele ya jinai hizo na utawala wa Israel, suala ambalo limeupa utawala huo kiburi cha kuendeleza jinai na mauaji yake huko Ghaza.
Habari zinasema kuwa utawala wa Kizayuni unajiandaa kufanya oparesheni kubwa ya nchi kavu huko Ghaza na katika fremu hiyo Israel tayari imetuma vikosi na zana nzito za kijeshi katika mipaka ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Serikali za Magharibi ambazo zinaendeleza kuuunga mkono utawala haramu wa Israel zimekosolewa vikali na walimwengu na kutambuliwa kuwa ni washirika wakuu wa Israel katika jinai hizo. 
Utawala wa Kizayuni umeshadidisha jinai zake huko Ghaza ili kutimiza malengo yake makuu ambayo moja kati ya hayo ni kujionyesha kuwa na nguvu kubwa na kuzusha hofu na wasiwasi ili kuwalazimisha Wapalestina wasalimu amri mbele ya siasa zake za kujitanua katika ardhi za Palestina. Israel ambayo mwaka 2005 ilipata pigo kubwa mbele ya muqawama wa wananchi wa Palestina na kulazimika kuondoka Ghaza kwa madhila hivi sasa inatumia njia mbalimbali ili kulikalia tena eneo hilo. Mwishoni mwa mwezi Disemba mwaka 2008, Israel ilianzisha vita vya siku 22 dhidi ya Ghaza kwa uungaji mkono wa Marekani lengo likiwa ni kulikalia tena kwa mabavu eneo hilo. Hata hivyo katika vita hivyo vya siku 22 ambayo vilimalizika mwanzoni mwaka mwaka 2009, utawala wa Kizayuni ulishindwa kufikia malengo yake haramu licha ya kutenda jinai kubwa dhidi ya wananchi wa Palestina na kuwauwa shahidi maelfu ya raia hao kutokana mapambano makubwa ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza.
Kwa hali yoyote ile kushadidi mashambulizi na ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Gaza kumedhihirisha tena sura halisi ya ugaidi, kupenda vita, ukatili na mauaji ya utawala huo jambo ambalo limekabiliwa na radiamali kali ya fikra za walio wengi duniani. Maandamano makubwa yanayofanyika katika pembe mbalimbali duniani kwa ajili ya kuulaani utawala haramu wa Israel yanadhihirisha hasira kubwa za waliwengu kwa utawala huo unaotenda jinai za kutisha dhidi ya raia wasio na ulinzi wala hatia wa Ukanda wa Ghaza.

ARSENAL DEFEAT TOTTENHAM BY 5-2


ARSENAL has attempted to win 5-2 over TOTTENHAM on the Barclays Premier League held in Emirate Stadium. The scorer were Mertesacker,Cazorla Walcott, Giroud & Podolski  for Arsenal and Adebayor and Bale for Tottenham.

I AM SHOCKED: Denis Mpagaze

I am shocked
By D. Mpagaze.
Six years of secondary school to me were of hardworking characterized by every sorts of sleepless merely to acquire ticket to join the university world and course I made it. The hardworking was moved by the picture I had in my mind about the university as a place where its citizens are very busy reading books, doing researches, writing books, developing new ideas which could provide any solutions to social problems because whoever joined the university had to show wonderful performance in form six examination.However, I was shocked to find the different picture. I say I was shocked to find gossips, every sorts of leasure and love stories dominate the daily lives of univeisty citizens. I couldn’t believe to find in almost every room these citizens busy with every sort of music pollution from sub hoofers. Stundets are very busy amusing themselves through movies, soaps, spots and music from Asia, Europe and America. While male university citizens watch European leagues, female citizens are busy watching American or Philippines’ soaps.

After consuming such westen media contents our ladies end up in buying counterfeit hair, nails, and eyebrews and cope to look like European ladies in African land. Such people are spending much of their time killing their nationalities and feel proud of that. It is a very sad story to find a university person being in front line betraying his nationality.

Over drinking remains a culture to many university citizens. These people remain number one customers of night clubs and bars in all the days.

My knowledge shows that craming without understand is the culture of both students and lecturers. Worse most of these university citizens suffer from google mentality. There are no more independent thinkers. In every assignment google is behind. The people whom expected most intelligent in the world they can even answer a very simple question before consulting Google. Don’t be surprised when in future our country will be full of google graduates.

The results of this kind of learning, I mean craming to death, has made most university citizens keep on learning very outdated theories which fail to show any sense of life in 21st Century. Lecturers keep on teaching such theories needing stundents to reproduce the same during final examination and graduate with clearn certificates and add more problems to the society. A person is fed with beans in the morning and forced to vomit the same in the evening. I am shocked because it is very difficulty to diferentiant university citizens from chimpanzees because they both have the ability to crame and not to think critically. I mean that the right to think which inereanable right is replacing by the right to memorize and cram.

To me secondary school education was somehow better than what I found in university. The common saying that education is the key to life I find it not applying here at the university in stead padlock to life. Unless education policy is changed, the future of this nation is uncertain. Let the coming institution think of this.

ARSENAL Vs TOTTENHAM- vikosi vya tim zote mbili

ARSENAL

Szczesny
Sagna, Mertesacker, Koscielny, Vermaelen
Arteta, Wilshere, Cazorla

Walcott, Giroud, Podolski
TOTTENHAM

Friedel
Walker, Gallas, Caulker, Vertonghen

Lennon, Huddlestone, Sandro, Bale
Dempsey
Adebayor


 Arsene Wenger hopes todays clash vs. Tottenham will prove a catalyst for Arsenal's return to the top four